Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwahiyo hapo ndo umeuliza kitu siriazi πŸ˜…πŸ˜…
Licha ya kuandika na alama ya kiulizo umeshindwa kuona swali jamani, ila ningekuwa nimekuandikia 2,000 dollars Cheque hata usingeulizaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Haya kesho tukutane Forodhani, nimekuletea pension yangu yote kwa ajili yako πŸ˜ƒπŸ™ˆπŸƒπŸ»πŸƒπŸ»
 
😁😁graham..

Leta hizo penshen mtwara huku tuzinunulie chamaki nchanga
 
Si njia rahisi
Ya kwenda mbinguni
Miiba ni mingi safarini
Vikwazo vipo tele
Lakini najua
Mwokozi Yu pamoja nami

Ooooh Noo
Si njia rahisiΓ—2
Kutembea na Yesu
Kuongoza Safari
Mazito huyarahisisha.


Najipa moyo kwani
Mwokozi aweza
Kunishindia majaribu
Nashinda kwa Imani
Sababu ninaye
Mwokozi aliyenifia


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanya kazi kwa siku sita na siku ya saba ni ya Bwana..ni siku ya mapumziko...!!! kwako mkalimani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…