Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

.
Screenshot_20210518-105633.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wa Mbeya mpo!

Nawapenda sana kwa ukarimu wenu.

Nimeuona ukarimu wenu katika ubaya wangu..

Honestly speaking I am a bad guy as per social standards, lakn ubaya wangu uko proudly sponsored na ukarimu wa watu wa Mbeya.

Nikitoboa huu mwaka nitandaa zawadi maalumu na nzuri sana kwa ajili ya watu wa Mbeya.

I really love you guys so much.
Kwa niaba ya watu wa Mbeya nasema akhsante kwa kushukuru.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee we love you toooooooo
Watu wa Mbeya mpo!

Nawapenda sana kwa ukarimu wenu.

Nimeuona ukarimu wenu katika ubaya wangu..

Honestly speaking I am a bad guy as per social standards, lakn ubaya wangu uko proudly sponsored na ukarimu wa watu wa Mbeya.

Nikitoboa huu mwaka nitandaa zawadi maalumu na nzuri sana kwa ajili ya watu wa Mbeya.

I really love you guys so much.
 
Bwana alitoa na Bwana ametwaa,jina la Bwana lihimodiwe.
Pole kwa CNMS, ndugu jamaa na marafiki.

Wote Safari yetu ni moja japo kwa nyakati tofauti.
Tujitahidi Kuishi vyema na watu..
Siku moja mtu atatamani arudishe muda nyuma ili tu apate nafasi ya kuongea na mtu ,lakini haitawezekana tena tena kwa kuwa ameshakwenda.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwana alitoa na Bwana ametwaa,jina la Bwana lihimodiwe.
Pole kwa CNMS, ndugu jamaa na marafiki.

Wote Safari yetu ni moja japo kwa nyakati tofauti.
Tujitahidi Kuishi vyema na watu..
Siku moja mtu atatamani arudishe muda nyuma ili tu apate nafasi ya kuongea na mtu ,lakini haitawezekana tena tena kwa kuwa ameshakwenda.



Sent using Jamii Forums mobile app
IMG-20210518-WA0078.jpg
 
Back
Top Bottom