Mshana Jr Muda mfupi hapa nilikua na piga soga na wadau kuhusu mambo ya nguvu za giza, Mambo ni mengi wameongea hili lilikua la ajabu kweli kweli.
Wachawi huwaga wana safari za kwenda kuzimu, na huko huwa wqnakutana na mkuu wao sheitwan kwa ajiri ya majambo yao na wanapitia baharini.
Unafahamu nini zaidi kuhus hilo ? Nategemea kupata kitu cha tofauti kutoka kwako mkuu