Eid Mubarak. Takaballallah mina waminkunView attachment 1784158
Thanks



hayo madirisha km shule fulan kongwe, afu vipaji maalumu Mchuma wako huwa unanikosha sana, natamani 1 dai nikanyage mafuta hapo mbele kulia,





Halafu Kuna kitu nataka kukwambia.Searching a beer tripView attachment 1784279
Nambie mama lao
Kule mahindi yameshuka bei sana kama unataka kununua.Nambie mama lao
Ooh thanks kwa information jtatu utanipa full details niende kuchek na quality yake
OkeeOoh thanks kwa information jtatu utanipa full details niende kuchek na quality yake
Kila nikiweka hii picha yangu hata huwa hamnipi likes!😒😒😒
Nakukera wakati mimi ni bebi yake mtu!Mwenzako huku kafa kaoza.