Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
UwiiNakukera wakati mimi ni bebi yake mtu!Mwenzako huku kafa kaoza.



Ameoza kama mimi nilivyofanya kwa Palladino?
Sent using Jamii Forums mobile app
UwiiNakukera wakati mimi ni bebi yake mtu!Mwenzako huku kafa kaoza.



Tena zaidi yako.Afadhali wewe hata unaweza kupumua.Yeye hata kupumua ni shida!
TobaTena zaidi yako.Afadhali wewe hata unaweza kupumua.Yeye hata kupumua ni shida!




Ujinga tena wakati leo namtoa mtu out!😄😄😄
Jana umemaliza kuvuruga watu na kitimoto yako kwenye uzi wa vyakula ,leo umeona unikere kidogoUjinga tena wakati leo namtoa mtu out!![]()

Yaani picha yangu inakukera wewe?🤔😂Jana umemaliza kuvuruga watu na kitimoto yako kwenye uzi wa vyakula ,leo umeona unikere kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Eid Mubarak
MchumbaJana umemaliza kuvuruga watu na kitimoto yako kwenye uzi wa vyakula ,leo umeona unikere kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Shem ameona picha yangu akazimia eti natisha sana.Sasa hivi amewekewa drip kuwa na subra😄😄😄
Shem ameona picha yangu akazimia eti natisha sana.Sasa hivi amewekewa drip kuwa na subra![]()



Yesu wanguShem ameona picha yangu akazimia eti natisha sana.Sasa hivi amewekewa drip kuwa na subra![]()




