Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
Dhambi gani tena mama? 😂
SowetoUpo sehemu gani nikuletee maparachichi?
Soweto
Umenipa mtihani, but nitajitahidi kuchagua 🙈Sasa siwezi kuchagua zawadi bana, wewe niletee chochote tu kitakachokupendeza
Asante kunikumbusha, nitajitahidi nikuletee nikifika Dodoma.
Kwamba ukitoka Tunduma utapita Mbeya,utaenda Dom then utarudi Mbeya kuniletea?Asante kunikumbusha, nitajitahidi nikuletee nikifika Dodoma.
Nitaangalia njia itakayofaa, but nitajitahidi nikuleteeKwamba ukitoka Tunduma utapita Mbeya,utaenda Dom then utarudi Mbeya kuniletea?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Na iwe hivyoNeno hili likafanyike baraka kwako

Zawadi ni zawadi, jiandae kupokea 🥂Jitahidi mpendwa![]()
![]()
Yaani hata mimi kuna wakati huwa najishangaa ila ndiyo nimejikuta tu nimezaliwa hivyo! Kwahiyo mwisho wa siku nikaona haya mambo ya mapenzi pengine labda siyo fungu langu wacha tu niwaachie wengine wanaoyafaidi!
Ujue unanifanya hadi naona aibu sasa ninavyojielezea![]()


, hayo maparachichi mnayokula hukó mbeya hayana faida kumbe


Kabisa yaaniBonus
Don’t expect everything to be easy. Don’t expect everyone to be for you. If it hasn’t happened yet, that doesn’t mean it’s not going to happen. The victory is on the other side of the opposition.

Maparachichi kwani yana faida gani?Binafsi nimeona aibu kusoma, hayo maparachichi mnayokula hukó mbeya hayana faida kumbe
![]()