Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Jamaa HB Sana , nikimuona nachanganyikiwa mwenyewesi kidogo awe kaka tu





Jamaa HB Sana , nikimuona nachanganyikiwa mwenyewesi kidogo awe kaka tu





Hahaha Karma nae anapita kama robot
Njoo pana zakwako...
Safari Lager?Njoo pana zakwako...
RobertsonSafari Lager?
Mimi kila mwanamke mwenye umri kwanzia miaka 18 hadi 60 huwa wanautesa moyo wangu..haijalishi awe mrefu au mfupi,black au white,kimodo au bongeeMkuu, Makiseo anautesa sana moyo wangu.Vipi kwa upande wako?![]()



Kabisaa yaani washkaji tu ila kunjanjuana nooo! aseehh!yaani Mimi mwanaume akiwa na six packs au sijui mweupee!yaani hata kushtuka Mimi sishtuki.Mimi sura personal ndo napendaga kuhusiana nao moyo mpk mtu akiniona Niko nae anauliza!!!ndo huyuu!??mi ndo naona rahaaaaa....kitambi kidogo,mweusi tiiiii!km simtank!bichwaa hilooo awe mfupi au mrefu I don't care




Dah, afadhali na sisi wenye sura personal sasa tumekumbukwa. Ila huo ushkaji hata sio poa, umpe tu kwa kweli ndio ushkaji utakuwa na nguvu.




Ndio juice gani hiyo?Robertson
Ulishamueleza dukuduku lako?👂Mimi kila mwanamke mwenye umri kwanzia miaka 18 hadi 60 huwa wanautesa moyo wangu..haijalishi awe mrefu au mfupi,black au white,kimodo au bongee![]()




Hata sijui Karma,
Hivi siyo africa ambako mwanamke anayegawa hovyo anaonekana malaya
. Halafu kugawa hovyo kama ulivyosema ni mindset zetu tu, hakuna kitu kama "kugawa hovyo", unless kwa wauzaji na wanunuzi.