Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hata sijui Karma,
Siwezi kumuita mtu malaya eti kwa vile kanipa utamu, hivi naanzaje. Halafu kugawa hovyo kama ulivyosema ni mindset zetu tu, hakuna kitu kama "kugawa hovyo", unless kwa wauzaji na wanunuzi.
Daah sasa imagine una washikaji zaidi ya kumi! Ina maana wote hao unatakiwa uwape utamu ili ushikaji uwe na nguvu!

Ujue mimi nimesema hivyo kutokana na mitazamo ya wanaume wengi hata humu mitandaoni wapo wanaosema hivyo! Wanakwambia hakuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke halafu hapo hapo mwanamke anayetoa tu utamu kwa mwanaume hata ambaye si mpenzi wake anaitwa malaya au kahaba na anashutumiwa na jamii kuwa hafai kuolewa!
 
Daah sasa imagine una washikaji zaidi ya kumi! Ina maana wote hao unatakiwa uwape utamu ili ushikaji uwe na nguvu!

Ujue mimi nimesema hivyo kutokana na mitazamo ya wanaume wengi hata humu mitandaoni wapo wanaosema hivyo! Wanakwambia hakuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke halafu hapo hapo mwanamke anayetoa tu utamu kwa mwanaume hata ambaye si mpenzi wake anaitwa malaya au kahaba na anashutumiwa na jamii kuwa hafai kuolewa!
Washkaji kumi wote hao wa nini, hujui kuwa na washkaji wengi nao ni mtihani? Unakuwa na mshkaji mmoja the rest ni watu wa kupeana hi from time to time.
 
Group limeongezeka, from mkwepu jr na sasa Makiseo na Karma. Ni mwendo wa likes kwa sasa.
Ah mimi likes zangu chukueni tu wala sina hiyana kwenye kugawa likes! Ila sijawafikia mkwepu na makiseo kwa kupita kimya jamani sasa bora hata makiseo ukimtag anajibu huyo mwingine ndiyo hata umtag kwa kilugha chao unajisumbua tu!
 
Washkaji kumi wote hao wa nini, hujui kuwa na washkaji wengi nao ni mtihani? Unakuwa na mshkaji mmoja the rest ni watu wa kupeana hi from time to time.
Sasa huyo mshikaji mmoja si bora awe mpenzi tu ijulikane moja! Hivi unajua kuwa kwa mwanamke mapenzi na ngono vinaenda sambamba, tofauti na kwa mwanaume anaweza fanya na yeyote tu hata asiyempenda maana kwenu mapenzi na ngono ni vitu viwili tofauti, ila kwa mwanamke hivyo vitu hauwezi kuvitofautisha na ukiona mwanamke anavitofautisha ndiyo hao wanaitwa malaya au kahaba!

Halafu kuna binadamu anayeweza kuwa na rafiki mmoja tu wa jinsia tofauti maisha yake yote? Maana hao washikaji zaidi ya kumi sijamaanisha uwe nao wote kwa mpigo ila in your lifetime!
 
Sasa huyo mshikaji mmoja si bora awe mpenzi tu ijulikane moja! Hivi unajua kuwa kwa mwanamke mapenzi na ngono vinaenda sambamba, tofauti na kwa mwanaume anaweza fanya na yeyote tu hata asiyempenda maana kwenu mapenzi na ngono ni vitu viwili tofauti, ila kwa mwanamke hivyo vitu hauwezi kuvitofautisha na ukiona mwanamke anavitofautisha ndiyo hao wanaitwa malaya au kahaba!

Halafu kuna binadamu anayeweza kuwa na rafiki mmoja tu wa jinsia tofauti maisha yake yote? Maana hao washikaji zaidi ya kumi sijamaanisha uwe nao wote kwa mpigo ila in your lifetime!
Mshkaji = mpenzi✓

Ila wewe tulishakubaliana tayari no mpenzi.
 
Back
Top Bottom