Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Yangaaaaaa










































































Mbona umechagua timu mbaya hivyo, nilikuwa najiuliza kwanini haunenepi licha ya misoltojo yote ile kumbe ni Timu yako inakukondesha!😜🙈🏃🏻(Jokes).Yangaaaaaa
![]()
Tubariki na picha mpendwa
Nasubiria watu walale niweke moja 😜😜Tubariki na picha mpendwa
Mbona umechagua timu mbaya hivyo, nilikuwa najiuliza kwanini haunenepi licha ya misoltojo yote ile kumbe ni Timu yako inakukondesha!(Jokes).
Btw Hongereni![]()









Thubutuuuu, huo ubonge nyanya utausikia kwa akina Miss Natafuta tu 😀😀😀🙌
Yanga baba lao
Yawezekana hujaona selfie zangu za hivi karibuni eeh! Mimi bonge nyanya.









Nitaaminije wakati juzi kanisani nilikuona wakati unaimba sauti ya pili🙊
Kama huamini sasa sijui nifanyeje!
Siwezi shabikia mikia Mimi![]()
Pole SanaNitaaminije wakati juzi kanisani nilikuona wakati unaimba sauti ya pili
Wewe ni zaidi ya Rihanna![]()






Morning kakaSnap it.Show it.
View attachment 1758333
Kabisaa yaani washkaji tu ila kunjanjuana nooo! aseehh!yaani Mimi mwanaume akiwa na six packs au sijui mweupee!yaani hata kushtuka Mimi sishtuki.Mimi sura personal ndo napendaga kuhusiana nao moyo mpk mtu akiniona Niko nae anauliza!!!ndo huyuu!??mi ndo naona rahaaaaa......wawe washkaji zako tu! Wanawake sijui mna nini aisee




kitambi kidogo,mweusi tiiiii!km simtank!bichwaa hilooo awe mfupi au mrefu I don't care




si kidogo awe kaka tuHizi picha enzi za Mayfair!
Umeamkaje dada lao?Morning kaka
Dah, afadhali na sisi wenye sura personal sasa tumekumbukwaKabisaa yaani washkaji tu ila kunjanjuana nooo! aseehh!yaani Mimi mwanaume akiwa na six packs au sijui mweupee!yaani hata kushtuka Mimi sishtuki.Mimi sura personal ndo napendaga kuhusiana nao moyo mpk mtu akiniona Niko nae anauliza!!!ndo huyuu!??mi ndo naona rahaaaaa....kitambi kidogo,mweusi tiiiii!km simtank!bichwaa hilooo awe mfupi au mrefu I don't care
. Ila huo ushkaji hata sio poa, umpe tu kwa kweli ndio ushkaji utakuwa na nguvu.