Mimi kwenye ishu ya kufungua picha tu ndiyo nakereka! Imagine hata picha uliyoweka mwenyewe tu eti nayo inagoma kufunguka hadi yapite masaa sijui mangapi huko!
Inaonyesha uko vizuri Sana mkuu.
Mimi ni mweupe yaani siyo Old Wala New Testament..zote chenga tu!
Ila itakuwa vema maana tutazidi kumbushana Exodus kitabu kilichobeba zile amri 10 za Mungu.
Daah kwa kweli imenisikitisha sana! Another man down!
I hope utaelewa kwanini wengine tumeamua kujiweka pembeni daddy! Tunajijua kabisa kuwa hatuwezi kuvumilia mambo kama haya ndiyo maana tukaona isiwe taabu!
Inaonyesha uko vizuri Sana mkuu.
Mimi ni mweupe yaani siyo Old Wala New Testament..zote chenga tu!
Ila itakuwa vema maana tutazidi kumbushana Exodus kitabu kilichobeba zile amri 10 za Mungu.
Daah kwa kweli imenisikitisha sana! Another man down!
I hope utaelewa kwanini wengine tumeamua kujiweka pembeni daddy! Tunajijua kabisa kuwa hatuwezi kuvumilia mambo kama haya ndiyo maana tukaona isiwe taabu!