Ah hao mie sijawahi kuwaamini kwa kweli yaani watengeneze miguu ya bia wakati wengi wao wanatembelea miwa ya nyongeza? Kwamba wao hiyo miguu ya bia hawaitaki?
Yaani bora tumsubiri Yesu kwanza halafu ndiyo tusubiri picha za HS! Hizo picha kweli ni Heaven Sent yaani siku atayoshuka Yesu toka mbinguni ndiyo picha za HS zitafuatia nyuma yake!