Selfika na JF: Snap it. Show it

Pambana nakusuria hapa HS.
Shida si heel ionekane...zoom kidogo tu.

Hebu niletee huo mguu wa bia wa mama.ukiweka niite
 
Visingizio vinajaa Tren la mlimba[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].
Naendelea kumsubiri
[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaani bora tumsubiri Yesu kwanza halafu ndiyo tusubiri picha za HS! Hizo picha kweli ni Heaven Sent yaani siku atayoshuka Yesu toka mbinguni ndiyo picha za HS zitafuatia nyuma yake!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siamini kama ndiyo siaminiki hivi
Pambana nakusuria hapa HS.
Shida si heel ionekane...zoom kidogo tu.

Hebu niletee huo mguu wa bia wa mama.ukiweka niite
Visingizio vinajaa Tren la mlimba[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].
Naendelea kumsubiri
 
Morogoro ni mpana umbali kutoka centre kwenda huko mahenge huko si mchezo, ukizingatia barabara halina lami ni tabu tupu..
Ila kuivuka moro kutokea pwani kwenda dom ni dk 0 tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…