Selfika na JF: Snap it. Show it


Au ile treni ya Gerezani - Pugu

Haha namiss sana safari za treni aisee! Mbona haukututumia hata kapicha sasa jamani?

Wana nondo sana though mimi namkubali HS zaidi atleast ndiye ambaye naweza taniana naye humu ila Mtende namuona yuko serious sana and so far mimi na yeye hatujawahi interact humu! Huwa naona mnainteract mara kadhaa na inaonekana you guys mmeclick vipi unafahamiana naye nje ya JF?
 
kama hayaudhi tunaishi nayo tu Tutafanyaje sasa


Wanasemaga eti majibu kama hayo japokuwa yanafurahisha mtu anajikuta anacheka lakini yanaudhi! Nayafananisha kidogo na majibu ya Khantwe huwa ana majibu fulani hivi ya kukera na hapo hapo yanachekesha!

Ndiyo maana watu wengi sana humu wanamkubali na wanamuona kama comedian! In short watu wenye majibu kama hayo yenu huwa wanakubalika sana humu JF na mimi nikiwa mmoja wa wanaowakubali!
 
Mate yamenijaa mdomoni nasikia kutapika hakyamama tena
kwani wewe ni kabila gani agrrrrr

Don baba huyo ni nyoka au macho yangu
kwahiyo nae pia ni msosi wako
Nami nimeshangaa sana! Haya magonjwa ya mlipuko yanasababishwaga na mambo kama haya haya ya watu kutaka kula kila kitu sijui popo sijui nyoka sijui kenge wooiii!
 
😁😁😁😁
Sikupanda treni nisafiri na bus kwenda na kurud..ingawa changamoto ya barabar ilikuwa ni kubwa kwa sababu ya Mvua kunyesha.hapo tulikwama karibu saa zima.next time nikienda itabidi nipande tren niende nikashinde bar kabisa😁😁

Nawakubali sana mtende na heaven sent..ila HS sijawahi kumwambia kwakuwa hatujakuwa na muingiliano wa karibu.wakianza kutoa ushauri natafuta kiti kikowapi naanza kuchoma na mahindi kabisa...maana najua naenda kusoma nyundo za maana.yap mimi na mtende tunainteract..nje ya hapa hapana lakini naimani kuna siku nitakuja kufahamiana nae.kikubwa uzima.mtende na HS ni watu wanaonibariki mno na ndio watu ninaotamani kuonana nao nje ya JF. Mtende na Heaven Sent ninawakubali na kuwapenda sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…