Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Nakumbuka vizuri maana hili swali nilikuulizaga mwenyewe

Nilikuwaga naipenda sana ile series. Wenyewe eti kuna muda Walikuwaga wanamuita Chakorya.
Eti Chakorya...mimi sikuimalizia waaahiii ilikuwa ni ndefu.

Kumbe na wewe ulishaniulizaga ee ok... nakumbuka pia Mtende alishawahi kuniuliza kuhusiana na jina hapo hapo nikapata na nafasi ya kummwagia sifa zake maana nilikuwa namkubali sana na sikujua nitaanzia wapi kummiminia sifa zake😊😊
 
Dogo,
Kama vipi mfuateni. Kwani si tuna rais mpya au?? Au hakufai wewe??
Comment yangu umeielewa?
Au umeamua tu uidandie!

Nani amesema hakuna Rais mpya?
Mbona unauliza maswali ambayo una majibu tayari??

Siku yangu ikifika nitakufa tu!
Ila siyo ambayo imepangwa na watu
 
Back
Top Bottom