Selfika na JF: Snap it. Show it

mdogo wangu usichezee bahati hiyo achana na Lizarazu hakufai huyo nenda kwa wanaume wanaojielewa kama hao hivi mbona nilishakufunda lakini hausikii unataka kuniaibisha mimi dada yako?? Nitaambia nini watu mimi jamani??
 
Hivi unadhani naweza kuziacha ng'ombe 70 ziende?
Hivi unadhani naweza kwenda kwa bondia Yule Lizarazu...hunipendi eeh!


Siwezi nikakuangusha...nakumbuka mahusia yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…