Hapana usijitetee..Daaah!
My brand is falling apart...
Kwa hiyo nianze kujitetea tena kuwa mimi sio SYB.
Kazi kweli kweli.
Halafu ndio yule nilikuahidi kukutajiaNi mkuu(babake Chakorii)mstaarabu sana.


Umeanza lini kupiga ramli we mtakatifu😁😁.hamna bhana 😄😄Halafu ndio yule nilikuahidi kukutajia
Nadhani sina deni tena
Umeshamtaja..
Usinambie nimekosaUmeanza lini kupiga ramli we mtakatifu.hamna bhana
![]()

Naomba Sasa uselfike boss.Nimekuelewa Boss.
😁😁😁😁 mchokonoaji sana mtakatifu.😂😂ndo ushakosa 😃Usinambie nimekosa![]()
Asante sana mkuu.Hongera Mkuu kuwa na Baba mstaarabu.
Natumai siku moja nitapata bahati ya kumfahamu.
A wapi sijakosamchokonoaji sana mtakatifu.
ndo ushakosa
![]()

Mi mwenzenu namuona kama yeyeAsante sana mkuu.
Utakuwa unamfahamu tu sema mtakatifu katumia ufupisho![]()


sijui nina matatizo gani!Umejuaje madame Ramli😃😃😃Mi mwenzenu namuona kama yeyesijui nina matatizo gani!
Basi tu kichwa changu kinaniambia hivyoUmejuaje madame Ramli![]()
Hiyo ramli yako iko na mchele mchele mwingi sana😂😂😂😂😂😂A wapi sijakosa
Tangu siku ile nilitaka kutaja ila nikaona niwaze Sana.
Ramli zangu zote zinagonga hapo hapo.
😃😃😃wacha bhanaBasi tu kichwa changu kinaniambia hivyo
JamaniHiyo ramli yako iko na mchele mchele mwingi sana![]()




Kuweka tu selfie hadi ripoti?Ombi lako linafanyiwa upembuzi yakinifu.
Ripoti ikitoka utafahamshwa.

😃😃😃weee usiniambie bhana...Jamani
Ila sijawahi kukosea..labda hii iwe ya kwanza kuchana mkeka.
Na hilo ni jambo la msingi kuendelea kuheshimu🥂Atakuwa na maana yake kufanya hivyo.
Naheshimu.
weee usiniambie bhana...
Kwahiyo uko vizuri katika utabiri sio





