Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
😁😁😁hapana sio yeye😁
Mi naona nimepatia.
Crush wako huyo![]()
Ila hongera kwa kujaribu.umejitahidi sana
😁😁😁hapana sio yeye😁
Mi naona nimepatia.
Crush wako huyo![]()
Mweeehapana sio yeye
Ila hongera kwa kujaribu.umejitahidi sana




Naomba uselfike
😁😁😁unanichimba sana mtakatifu...hunipati ng’odo😆😆Mweee
Nimekosa?![]()
Dahunanichimba sana mtakatifu...hunipati ng’odo
![]()










Ehee bhana mkeka umechanika😁😁Dah
Kwamba ni kweli nimekosa?
Haiwezekani![]()
😅😅😎😎😎😎😎Haaa!![]()
Haha haha muombe sana munguHivi Wakuu ukikutana na jaribu la kutaka kuchepuka na mke wa mtu nini kifanyike?
Naona haka kapepo kananiandama now!
Nisaidieni maana nakapinga ila kapo tu!
Ni Kweli Mkuu kicheko hakinihusu direct ila achana nao tu Kuna madem wengi mno wanazagaa tu na wazuri Hawana mbele Wala nyuma kazi kwakoAhsante Bro kwa ushauri...
Kicheko chako, ni kama vile kina stori.
Mbona sisi wote tunaselfika humu na tuko huru!Hapana sio selfie tu boss! Indirectly unaniambia niuze haki yangu ya uhuru wa kuongea niliyopewa na JF.
Ni uwongo ndiyoUbarikiwe pia.
Si kila tatizo ni jaribu.
Jaribu si jaribu hadi limekufikisha njiapanda.
Ila Mungu ni mwaminifu utavuka.
Sijui kwa nini hii ID nailinganisha SYB.
Karma nasema uongo!?



SYB ni mimi mkuu. Ila kazi unayo aisee. Na Mtakatifu Anne akikukomalia haachiliagi. Wewe kubali tu kuwa wewe ndiye SYB yaisheDaaah!
My brand is falling apart...
Kwa hiyo nianze kujitetea tena kuwa mimi sio SYB.
Kazi kweli kweli.



Asante binti yangu kwa kutia nenoNi mkuu(babake Chakorii)mstaarabu sana.






Ikimbie sana dhambi hiyo kwa kadri inavyowezekana. Madhara yake kiroho ni mabaya sana. Utajiletea mikosi na nuksi zisizoisha maishani mwako.Hivi Wakuu ukikutana na jaribu la kutaka kuchepuka na mke wa mtu nini kifanyike?
Naona haka kapepo kananiandama now!
Nisaidieni maana nakapinga ila kapo tu!
Asante kushukuru baba..sikutaka mkuu wa watu apate tabu kufananishwa namtu asiyemfahamu😁😁nikaamua kumtoa wasiwasiAsante binti yangu kwa kutia neno![]()