Selfika na JF: Snap it. Show it

Shikamooo saint anne
 
Huku kwenye bongo fleva ndo mnapotea kabisa

Hamnipati...

Akija huku ataharibu kabisa

Bora abaki na za kanisani zilezile.
 
Kale nilitembea
Nikilemewa dhambi
Nilikosa msaada
Kuniponya mateso

Usifiwe msalaba
Lisifiwe kaburi
Linalozidi yote
Asifiwe mwokozi


Panapo msalaba
Kinatolewa cheti
Cha kuingia Mbinguni
Kisicho Cha kabisa


Yule bwana mjinga
Likwenda bila cheti
Kitumai kuingia
Kama walionavyo

Jitahidi uingie
Damuni mwa mwokozi
Utafutiwa dhambi.....
 
Wala hakuna ugomvi
wizo wangu.

Kiroho Safi Jack brother wangu nimemgawa kwako
Kwani sh ngapi
barida tu
huu wimbo nimekumbuka tulilazimishwa kuimba tulivyomaliza Ue yetu ya mwisho.
 


Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Mungu ni Pendo
Apenda watu
Mungu ni Pendo
Anapenda

Sikilizeni
Furaha yangu
Mungu ni Pendo
Anipenda

Nalipotea
Katika dhambi
Nikawa mtumwa
Wa shetani

Akaja Yesu
Kuniokoa
Yeye kanipa
Kuwa huru

Sababu hii
Namtumikia
Namsifu yeye
Siku zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…