Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
UsinambieBasi mimi leo tangu asubuhi nauimba

Leo nimepiga nyimbo chache Sana.
Huo hapo wa Bethel
Kinondoni Revival_imekwisha
Kijitonyama Upendo group_Njooni kwangu
Agape choir (wale wa Arusha)_Upendo wa Mungu
Hati ya mashitaka(sijui wameimba watu gani wa zamani sana)
Mateso yake Bwana Yesu_Mabibo kkkt








kumbe Crush maana yake wanapendana eeh


