Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Tunakoseshana raha hadi kwenye bando

Hadi mtandaoni tuingie kwa manati
Huu ni zaidi ya ukatili


Hadi mtandaoni tuingie kwa manati

Huu ni zaidi ya ukatili



Sijafuta hata.Ko umeshakufa tayari?
Turuhusiwe kuchek?
Yaani nimeunga bando langu dk1 limeishaNikajua bei za bando zimeondoka na wewe.



Hili jibu sijalielewa labda niulize tena!Sijafuta hata.
Nadhani maelezo nimetoa ...labda nifanye kuedit tu!
Ushazoea kuangalia status 😩😆Yaani nimeunga bando langu dk1 limeisha
Huu ni ujinga sana wanafanya
Penzi??Hili jibu sijalielewa labda niulize tena!
Limekufa?




Ukisema hvo ina maan hauna iman na kaka ako mkwepu sio? wewe ndo ulipamban mpka leo tunapendana na kaka ako jmn vip tenaUmeua uchumba wetu wakati May mwaka huu tulikuwa tunamaliza mwaka.
Mimi nawatakia kheri.
Penzi ndio!!Penzi??
Linaelekea kufa
Nauandaa moyo kubeba maumivu![]()
No!Ushazoea kuangalia status![]()


Mbona nyie ni macrushBora umetoa ufafanuzi ningekuogopa sanacrush.






Anne anawivu mtamu😋.Ukisema hvo ina maan hauna iman na kaka ako mkwepu sio? wewe ndo ulipamban mpka leo tunapendana na kaka ako jmn vip tena
Hv ujui kuwa mume wa wifi yako ni kaka ako????
Yaan mimi Jack Palladino ni kaka angu maan kwako ni mume na mimi ni wifi yako tulia mama mali yako hyo
Huyo nakugawiaUkisema hvo ina maan hauna iman na kaka ako mkwepu sio? wewe ndo ulipamban mpka leo tunapendana na kaka ako jmn vip tena
Hv ujui kuwa mume wa wifi yako ni kaka ako????
Yaan mimi Jack Palladino ni kaka angu maan kwako ni mume na mimi ni wifi yako tulia mama mali yako hyo



Hawezi kuua yupo committed na mtu wakeUmeua uchumba wetu wakati May mwaka huu tulikuwa tunamaliza mwaka.
Mimi nawatakia kheri.

Hapo ndo ulipokosea angetokea mwingine sawa sio wewe uliye tafutiwa mume 😀😀Mbona nyie ni macrush
Wivu huuu![]()
A wapiPenzi ndio!!
Kama bado linaelea em shandarize leo linafufuk mbona.


Wewe si umempenda..umenisaliti Mimi.
Pole mnooNo!
Nimehamisha app ya jf kwenye simu nyingine maana huko kulikuwa na bando...
Namalizia tu kulog in wananiambia bando limeisha
Hivi ni wajinga gani wamefanya haya mambo?
Huu ni ukatili jamani
Ningekuwa mchawi leo ningeroga watu wallah
Opportunist wako makini muda huu.Wewe si umempenda..umenisaliti Mimi.
Na mimi siwezi kuendelea wallah
Mbona nyie ni macrush
Wivu huuu![]()
Ucrush huu wangu hauna madhara kwa sababu mimi sijamtaka S TO I C..alinicrushia mwenyewe.Hapo ndo ulipokosea angetokea mwingine sawa sio wewe uliye tafutiwa mume![]()