Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndiyo
Jitahidi ufwate hayo machache uone Mungu anavyojibu.


Sema makanisa yetu siku hizi mengi yanayumba Sana hasa kwenye upande wa utoaji sadaka..
Hadi Wana wa ulimwengu wanatuzidi,ndiyo maana watu wengi wa nje wanafanikiwa kuliko wa kanisani.
Utoaji sadak kwa upande wangu sio mafanikio!!!! Wengi wenye uwezo wa kutoa vingi na mengi si wasafi wa roho hata mwili,

Moyo msafi ni mafanikio kwenye Ufalme wa mungu.
 
Acha acha acha dhambi zako
Acha acha acha utapotea

Wamhuzunisha roho wa Bwana
Wamhuzunisha kwa dhambi zako


Huu wimbo nimeupiga Sana Leo Ijumaa kuu.
Hahahha majungu si mtaji mdogo angu. Unaufahamu huu wimbo uliimbwa zamani sana, sijui hata kaa ulikuwa umezaliwa

Taifa teule, Israel walimuasi Mungu
Wayahudi nao, wakataka kumuangamiza
Wakamkamata, wakamuweka mbele ya Pilato
Wale askari, katili katili kama Golliath...........
 
Tangu comment ya mwanzo nilielezea uchumba kufa...comment hiyo nikasema unakufa nikimaanisha uchumba unakufa japo nilitamani umalize mwaka maana tulianza uchumba May last year..
Sema sikuweka sentensi vizuri ikawa sentensi Tata

Maana yangu si hiyo waliyoimaanisha wao
Nimekuelewa mchumba!

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Vile nawaza kumbadilisha Karma kutoka mchumba mtarajiwa hadi kuwa crush baada ya mambo kuwa magumu/kunigomea!😄😄😄
900099.jpg
 
Hahahha majungu si mtaji mdogo angu. Unaufahamu huu wimbo uliimbwa zamani sana, sijui hata kaa ulikuwa umezaliwa

Taifa teule, Israel walimuasi Mungu
Wayahudi nao, wakataka kumuangamiza
Wakamkamata, wakamuweka mbele ya Pilato
Wale askari, katili katili kama Golliath...........
Naujua.
Nikaukumbuka leo,nikaudownload.
Zamani nilikuwa naucheza sana.

Nimemsurprise dada yangu nilivyouweka
 
Back
Top Bottom