Ili kaburi nalifukua kwanini ulituchota kwanza? 😂😂😂😂
Basi tu, sipendelei though nakula.Kwanini


Mara ya kwanza kujifunza gari nilivua Viatu so tangu kipindi hicho mpka sasa siwezi kuendesha gari na viatu![]()
Nampenda sana tena sana tu yaanTunasubiri kadi tu.
Kumbe tuko Wengi loh.ninawifi yangu bhana yeye lazima abaki peku😅😅khaWengine walienda driving schools kabisa, so obviously walijifunza wakiwa wamevaa viatu; ila leo akivaa viatu anaendesha utafikiri learner. My sister anakuwa na flats pembeni, ila anavaa kiatu mguu wa kushoto afu cha mguu wa kulia anakiweka chini ya seat ili akifika kwa traffic akivae fasta. Basi sio kwa kudondosha huko viatu vya mguu wa kulia, na kubaki na vya mguu wa kushoto![]()
Kuwachotaje jmnIli kaburi nalifukua kwanini ulituchota kwanza?![]()








Kumbe tuko Wengi loh.ninawifi yangu bhana yeye lazima abaki pekukha
Mimi mzima.Saint Anne mwali wa kiyunani mwenye macho ya kihabeshi hujambo.....
Bora umetoa ufafanuzi ningekuogopa sana😂😂 crush.
Haukunielewa.
Nilimaanisha uchumba si muda utakufa,na si wewe utakufa jamani
Msinilishe maneno.
Umeua uchumba wetu wakati May mwaka huu tulikuwa tunamaliza mwaka.
Mzima!Mimi mzima.
Mambo vipi!
Tangu comment ya mwanzo nilielezea uchumba kufa...comment hiyo nikasema unakufa nikimaanisha uchumba unakufa japo nilitamani umalize mwaka maana tulianza uchumba May last year..Bora umetoa ufafanuzi ningekuogopa sanacrush.








Sijui kwanini yaan? Ila hususan wanawake wafupiKaribuni sanaa.
Hivi kwanini wanawake hupenda kusogeza kiti karibu na usukani wakiwa wanaendesha gari?!







Ko umeshakufa tayari?Tangu comment ya mwanzo nilielezea uchumba kufa...comment hiyo nikasema unakufa nikimaanisha uchumba unakufa japo nilitamani umalize mwaka maana tulianza uchumba May last year..
Sema sikuweka sentensi vizuri ikawa sentensi Tata
Maana yangu si hiyo waliyoimaanisha wao![]()
Nikajua bei za bando zimeondoka na wewe.Asante..
Nipo
Umemissiwa pia.
Mtandao ya simu.Hivi watu gani wamepandisha bando?
Huu ni zaidi ya upumbavu