Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Stalin baada ya kifo chake alirithiwa na Nikita Khrushchev., Siku mmoja akiwa ana hutubia Kamati Kuu huku akipinga sera nyingi ya mtangulizi wake, Mjumbe mmoja bila ya kujitambulisha alikereka na akamundikia ki note cha kumshutumu na kumlaumu, "we Nikita ulikua msaidizi wa Stalin, "kwa nini hukusema haya kipindi hicho Stalin akiwa hai?" Khrushchev akakisoma na akaomba Mjumbe aliye andika anyooshe mkono juu amtambue ili amjibu .Hakuna mkono uliyo nyooshwa, Khrushchev akasema "kinacho kushinda wewe kunyoosha mkono leo , ndo hicho hicho kilicho nishinda mimi kusema enzi hizo"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila siasa jamani
 
Sio kweli. Wewe ni kati ya 35-37 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Heee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niweke mguu wangu hapa uone??

Kwetu hakuna anayevaa hiyo namba na mimi ndio navaa namba ndogo kuliko wote[emoji1787]


Hiyo 35 mbona namba ya watoto wachanga??
 
ww ambae huywi una nyumba ngapi isyesye.......2[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Sina hata kibanda Cha kuku..
Lakini ningepata hiyo nafasi ya kuwa na hizo hela ambazo nyie mnanywea pombe,,nadhani ningekuwa na kibanda Cha kuku Sasa.
 
ww ambae huywi una nyumba ngapi isyesye.......2[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Biblia inasema hapa duniani tunapita tu. Sasa mkuu wewe unaweza kujenga nyumba njiani?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom