Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Unaniacha mchumbaAmenisaliti huyo..
Navunja uchumba.

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Unaniacha mchumbaAmenisaliti huyo..
Navunja uchumba.

Stalin baada ya kifo chake alirithiwa na Nikita Khrushchev., Siku mmoja akiwa ana hutubia Kamati Kuu huku akipinga sera nyingi ya mtangulizi wake, Mjumbe mmoja bila ya kujitambulisha alikereka na akamundikia ki note cha kumshutumu na kumlaumu, "we Nikita ulikua msaidizi wa Stalin, "kwa nini hukusema haya kipindi hicho Stalin akiwa hai?" Khrushchev akakisoma na akaomba Mjumbe aliye andika anyooshe mkono juu amtambue ili amjibu .Hakuna mkono uliyo nyooshwa, Khrushchev akasema "kinacho kushinda wewe kunyoosha mkono leo , ndo hicho hicho kilicho nishinda mimi kusema enzi hizo"![]()




mguu ndio upo hivyo. Kwan ww wavaa size ngapi?




Haukusema bwanaNilikwambia when it might happen, nenda kaangalie vizuri![]()
Ndiyo ndiyo.
Macho yako yanakudanganya vibaya sana
Nakuona kadogo aisee![]()






Umeanza wewe,mimi najiongeza tu!
NdiyoMmh are u sure?![]()
39-40Macho yako yanakudanganya vibaya sana
Wewe wavaa kiatu size gani?
Nilikwambia exactly lini naondoka..... Utakuta msg ya ushahidiNdiyo
Wewe j5 umeshindwa niambia jamani.




Kama huku Tukuyu nadhani angekuwa na nyumba mtaa mzima.
HeeeSio kweli. Wewe ni kati ya 35-37![]()






ww ambae huywi una nyumba ngapi isyesye.......2Kama huku Tukuyu nadhani angekuwa na nyumba mtaa mzima.
Hata wewe Kalumbu sasahivi ungekuwa na nyumba hapa Uyole,nzuri tu!







Hebu weka nioneHeee
Niweke mguu wangu hapa uone??
Kwetu hakuna anayevaa hiyo namba na mimi ndio navaa namba ndogo kuliko wote
Hiyo 35 mbona namba ya watoto wachanga??



Sina hata kibanda Cha kuku..
Hukusema bwana.Nilikwambia exactly lini naondoka..... Utakuta msg ya ushahidi![]()
Biblia inasema hapa duniani tunapita tu. Sasa mkuu wewe unaweza kujenga nyumba njiani?





Hivi kwani hujaona tu jinsi nilivyo mrefu???Hebu weka nione![]()

