Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndugu zangu niombeeni nifike salama nipo njiani nampelekea Karma zawadi![emoji51][emoji51][emoji51]
2729764122504.jpg
 
Mimi huzuni yangu ni wewe kuondoa picha ya mheshimiwa kwenye avatar yako wakati hata arobaini yake haijapita!😭😭😭
Anko frog kama ulikuwa humpendi JPM hayupo sasa amelala zake na hatoamka tena.tumepata Madam Amiri Jeshi mkuu amekuja na Baraza lake bado unaendekeza chuki!!😳😳😳

Napata ukakasi kidogo yawezekana maslahi yako binafsi yaliguswa na JPM lakini ndo hadi na SSH na baraza lake???🥺🥺

Anko frog punguza chuki basi aise 🤓ukiendekeza chuki sana nyongo itakupasukia tumboni huko.angalia hiyo chuki yako usiwaambukize na watoto maana wataishi maisha magumu mnoo 😏😏

JPM nitamuweka kila siku,kila saa moyo wangu utakapoamua.🥂🥂
 
Anko frog kama ulikuwa humpendi JPM hayupo sasa amelala zake na hatoamka tena.tumepata Madam Amiri Jeshi mkuu amekuja na Baraza lake bado unaendekeza chuki!![emoji15][emoji15][emoji15]

Napata ukakasi kidogo yawezekana maslahi yako binafsi yaliguswa na JPM lakini ndo hadi na SSH na baraza lake???[emoji3064][emoji3064]

Anko frog punguza chuki basi aise [emoji851]ukiendekeza chuki sana nyongo itakupasukia tumboni huko.angalia hiyo chuki yako usiwaambukize na watoto maana wataishi maisha magumu mnoo [emoji57][emoji57]

JPM nitamuweka kila siku,kila saa moyo wangu utakapoamua.[emoji1635][emoji1635]
9900999.jpg
 
Back
Top Bottom