Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
Aiseh..ni huzuni
Sana anapata tabu mno aiseh..kha..
Mimi huzuni yangu ni wewe kuondoa picha ya mheshimiwa kwenye avatar yako wakati hata arobaini yake haijapita!😭😭😭Aiseh..ni huzuni
Anko frog kama ulikuwa humpendi JPM hayupo sasa amelala zake na hatoamka tena.tumepata Madam Amiri Jeshi mkuu amekuja na Baraza lake bado unaendekeza chuki!!😳😳😳Mimi huzuni yangu ni wewe kuondoa picha ya mheshimiwa kwenye avatar yako wakati hata arobaini yake haijapita!😭😭😭
🤣🤣🤣🏃cha kati ndio kibebeo
Niombee ndugu!cha kati ndio kibebeo
🤣🤣🤣Bazazi huombewa na baharia... Mimi labda ulozi![]()
TallJamiiforumView attachment 1739768
Kidunchu tuuHebu hukooo
Kiduchu nini MakaveliKidunchu tuu
Tupo mkuuMiss you guys maana bado nilikuwa nikiomboleza msiba wa JPM...
Mpo poa humu ndani....
View attachment 1740425
Anko frog kama ulikuwa humpendi JPM hayupo sasa amelala zake na hatoamka tena.tumepata Madam Amiri Jeshi mkuu amekuja na Baraza lake bado unaendekeza chuki!!
Napata ukakasi kidogo yawezekana maslahi yako binafsi yaliguswa na JPM lakini ndo hadi na SSH na baraza lake???
Anko frog punguza chuki basi aiseukiendekeza chuki sana nyongo itakupasukia tumboni huko.angalia hiyo chuki yako usiwaambukize na watoto maana wataishi maisha magumu mnoo
JPM nitamuweka kila siku,kila saa moyo wangu utakapoamua.![]()
Mkuu nitumie ile kitu yetu pendwa(link) inbox.Jua Kali, acha tushushie