Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndugu zangu niombeeni nifike salama nipo njiani nampelekea Karma zawadi!
2729764122504.jpg
 
Mimi huzuni yangu ni wewe kuondoa picha ya mheshimiwa kwenye avatar yako wakati hata arobaini yake haijapita!😭😭😭
Anko frog kama ulikuwa humpendi JPM hayupo sasa amelala zake na hatoamka tena.tumepata Madam Amiri Jeshi mkuu amekuja na Baraza lake bado unaendekeza chuki!!😳😳😳

Napata ukakasi kidogo yawezekana maslahi yako binafsi yaliguswa na JPM lakini ndo hadi na SSH na baraza lake???🥺🥺

Anko frog punguza chuki basi aise 🤓ukiendekeza chuki sana nyongo itakupasukia tumboni huko.angalia hiyo chuki yako usiwaambukize na watoto maana wataishi maisha magumu mnoo 😏😏

JPM nitamuweka kila siku,kila saa moyo wangu utakapoamua.🥂🥂
 
Anko frog kama ulikuwa humpendi JPM hayupo sasa amelala zake na hatoamka tena.tumepata Madam Amiri Jeshi mkuu amekuja na Baraza lake bado unaendekeza chuki!!

Napata ukakasi kidogo yawezekana maslahi yako binafsi yaliguswa na JPM lakini ndo hadi na SSH na baraza lake???

Anko frog punguza chuki basi aise ukiendekeza chuki sana nyongo itakupasukia tumboni huko.angalia hiyo chuki yako usiwaambukize na watoto maana wataishi maisha magumu mnoo

JPM nitamuweka kila siku,kila saa moyo wangu utakapoamua.
9900999.jpg
 
Back
Top Bottom