Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Akuu...Jamani dear hiyo ni mbinu yangu ya kujitoa kwa goli In case ukarudi nyumbani ukiwa unakula malimao na ndimu baada ya makutano yetu. 😂😂🙈🏃🏻
Akuu...Jamani dear hiyo ni mbinu yangu ya kujitoa kwa goli In case ukarudi nyumbani ukiwa unakula malimao na ndimu baada ya makutano yetu. 😂😂🙈🏃🏻
Hebu hukoooAsili yangu.
Unahofia kuchokozeka!?
Unaogopa nini jirani? Fanya kama K lyinn unipe watoto wa Uzeeni wale Pension. Baba yao jua ndiyo linazama hivyo 😂🏃🏻🏃🏻Akuu...
Nakusubiri ujue hapa Peku peku, alafu nimejiandaa haswa 🙈🙊🏃🏻😅😅😅wacha bhana
Mambo vipi shemudarling....
Huko peku peku ndo wapi!Nakusubiri ujue hapa Peku peku, alafu nimejiandaa haswa 🙈🙊🏃🏻
Akuuu zeeka mwenyewe babu wewe..kama uliweza kunidanganya kwa kukaa baharini kipindi chote hicho,utashindwa kunitelekeza na kibendi?!!akuuuuuuuuuuuUnaogopa nini jirani? Fanya kama K lyinn unipe watoto wa Uzeeni wale Pension. Baba yao jua ndiyo linazama hivyo 😂🏃🏻🏃🏻
Ni nzuri sana shemegiiidarling..za kwakoMambo vipi shemudarling....
Za kwangu/ya kwangu njema/salama kabisa shemeji yangu mzuriNi nzuri sana shemegiiidarling..za kwako
Nafurahi kusikia uko salama shemeji yangu wa kienyejiZa kwangu/ya kwangu njema/salama kabisa shemeji yangu mzuri
Hahaha.....@Chakorii bhanaNafurahi kusikia uko salama shemeji yangu wa kienyeji
Nimefanya nini shemeji wa kienyejiHahaha.....@Chakorii bhana
Haha...eti shemeji wa kienyejiNimefanya nini shemeji wa kienyeji
Jioni uweke dinner ya kinyeji tafadhaliHaha...eti shemeji wa kienyeji
Hahaha ndiyo kalumbuyangu note 9......karma hii abechede nimewaza unamaanisha nnni A series sio??View attachment 1739573
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app