Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG-20210331-WA0116.jpg
 
Anko frog kama ulikuwa humpendi JPM hayupo sasa amelala zake na hatoamka tena.tumepata Madam Amiri Jeshi mkuu amekuja na Baraza lake bado unaendekeza chuki!!

Napata ukakasi kidogo yawezekana maslahi yako binafsi yaliguswa na JPM lakini ndo hadi na SSH na baraza lake???

Anko frog punguza chuki basi aise ukiendekeza chuki sana nyongo itakupasukia tumboni huko.angalia hiyo chuki yako usiwaambukize na watoto maana wataishi maisha magumu mnoo

JPM nitamuweka kila siku,kila saa moyo wangu utakapoamua.
Hawa si wazima.
Walianza kuandama hadi maiti..na wanatarajia siku Moja waje washike nchi kwa akili hii!

Yaani mtu anaisimanga maiti!
Kuanzia tundu wao hadi wao nawaona vichaa tu
 
Back
Top Bottom