Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Wacha bhana usiniambie unadata mtakatifu 😅Umependeza babe
Unazidi nidatisha![]()
Wacha bhana usiniambie unadata mtakatifu 😅Umependeza babe
Unazidi nidatisha![]()
Mpe za chembe ndugu yake na kimti huyo🤓Hovyo kabisa nyie
Hamna jema..
Afya yake na uhai wake ipo mikononi mwa Mungu..
Hakuja ajuaye kesho yake..waache kunyooshea watu mikono as if wao ndiyo wapangaji wa siku za mtu
Hata wao wanaweza ondoka muda wowote..hakuna ajuaye.
Aiseeeee!!Unavidole vizuri,kucha nzuri ,vyembamba virefu halafu vimebanana![]()
Nakusubiria hapa nchi kavu utoke baharini kwanza ndo nijue ni taswira gani nitakujengeaMkuu huoni unataka kunijengea taswira mbaya kwa akina Saint Anne , Chakorii , Noelia wangu?
Tena Saint Anne ndiyo alianza kunifundisha tenzi za rohoni wiki iliyopita, huoni ataniacha kwenye safari ya mbinguni😂😂
By the way, ni muhimu kujenga mazoea ya Ku check afya zetu mara kwa mara, sio HIV bali magonjwa yote.
Happy Easter
Umekula konzi la utosi nini..Aiseeeee!!
ChakoriiUmekula konzi la utosi nini..
Rafiki pole kwa surprise ya kuja kimya kimya, nilikuwa na wasiwasi na uzito wa wallet yangu 😅Nakusubiria hapa nchi kavu utoke baharini kwanza ndo nijue ni taswira gani nitakujengea
😆😆😆kwahiyo umeniona mimi kibebi ng’a eeRafiki pole kwa surprise ya kuja kimya kimya, nilikuwa na wasiwasi na uzito wa wallet yangu 😅
Kama utaruhusiwa, please njoo huku Peku Peku, nimejaa tele🥂
Ukija ndiyo tutapanga tuanzie wapi kula Kuku, nina wiki moja ya kuspend huku.😆😆😆kwahiyo umeniona mimi kibebi ng’a ee
Dawa yako inachemka
Akuu...sikuji ng’odo Kumbe haung’ati...akuuuuuuUkija ndiyo tutapanga tuanzie wapi kula Kuku, nina wiki moja ya kuspend huku.
Otherwise omba ruhusa ya siku 7 kwa Mr, mwambie asijali kuhusu usalama wako kwani Grahams ni nyuki wa mashine nisiyeng'ata 🙈🏃🏻
yangu note 9......karma hii abechede nimewaza unamaanisha nnHahaha hiyo ni Abechede series mkuu mi siyo mpenzi wa Note series kabisa. Bila shaka hiyo yako ni Note 9.



ni A series sio??Jamani dear hiyo ni mbinu yangu ya kujitoa kwa goli In case ukarudi nyumbani ukiwa unakula malimao na ndimu baada ya makutano yetu. 😂😂🙈🏃🏻Akuu...sikuji ng’odo Kumbe haung’ati...akuuuuuu
Huogopi nitaubandua!?Shikilia unyayo![]()

Acha uchokozi we kiumbe😅😅😅😅Huogopi nitaubandua!?![]()
😅😅😅wacha bhanaJamani dear hiyo ni mbinu yangu ya kujitoa kwa goli In case ukarudi nyumbani ukiwa unakula malimao na ndimu baada ya makutano yetu. 😂😂🙈🏃🏻