Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Akuuu zeeka mwenyewe babu wewe..kama uliweza kunidanganya kwa kukaa baharini kipindi chote hicho,utashindwa kunitelekeza na kibendi?!!akuuuuuuuuuuu
Kwani mwenzio alitekelezwa? Njoo Pekupeku unisalimie basi. Hayo mambo ya kukimbiana na kibendi ni mambo ya vijana.

Miye na Uzee huu hata kukimbia siwezi 🙊😅
 


IMG_6358.jpg
 
Kwani mwenzio alitekelezwa? Njoo Pekupeku unisalimie basi. Hayo mambo ya kukimbiana na kibendi ni mambo ya vijana.

Miye na Uzee huu hata kukimbia siwezi 🙊😅
Basi hamkawii kutuachia watoto na ugomvi wa mirathi..aku mie

Tena nyie mnakimbiaga hata kwenye mbigiri
 
Basi hamkawii kutuachia watoto na ugomvi wa mirathi..aku mie

Tena nyie mnakimbiaga hata kwenye mbigiri
😅😅 usiwe na wasiwasi nami.
Wazee tuna busara, ndiyo maana tuliwatungia msemo wa Chelewa chelewa utakuta mwana si wako

Zanzibar kubwa hii ati, wasije kunilia pension yangu kabla mlengwa wewe hujazila. 😂😂🏃🏻
 
Brother hongera sana aiseh.naomba nafasi ya kuunga undugu na vijana wangu..queen Joyce awe mwali wangu mzazi mwenzangu😊😊

Kwa heshima na taadhima naomba nichukue fursa hii kukuomba umtoe mwali wangu huku selfika asijeibiwa bureeee...ikikupendeza lakini 🥂🥂
 
😅😅 usiwe na wasiwasi nami.
Wazee tuna busara, ndiyo maana tuliwatungia msemo wa Chelewa chelewa utakuta mwana si wako

Zanzibar kubwa hii ati, wasije kunilia pension yangu kabla mlengwa wewe hujazila. 😂😂🏃🏻
Wape wale tu wasijali...ila waambie nikikutia kiganjani kuchomoka kwako ni mpka pension ikate😆😆😆😆
 
Brother hongera sana aiseh.naomba nafasi ya kuunga undugu na vijana wangu..queen Joyce awe mwali wangu mzazi mwenzangu

Kwa heshima na taadhima naomba nichukue fursa hii kukuomba umtoe mwali wangu huku selfika asijeibiwa bureeee...ikikupendeza lakini
Hahahahahhaaaa chakorii kwanza sorry kwa kua kimya as u no maandalizi ya kumpokea first kid I was full of mixed feelings ,, huyu jichagulie kijana gani wako amchukue
 
Wape wale tu wasijali...ila waambie nikikutia kiganjani kuchomoka kwako ni mpka pension ikate😆😆😆😆
Upepo huu na kibaridi hiki kinachochea babu miye kuhitaji uwepo wako.

Chukua tax uje tu 🙊🏃🏻
 
Hahahahahhaaaa chakorii kwanza sorry kwa kua kimya as u no maandalizi ya kumpokea first kid I was full of mixed feelings ,, huyu jichagulie kijana gani wako amchukue
Usijali Bill nakuelewa..hiyo furaha naielewa sana aiseh.

Imeisha hiyoooo..akianza shule ada italipwa huku..

Haya idelete basi hiyo picha kuna masta hapo chini kaanza kuulizia habari ya mahari.ninawivu mwingi ujue
 
Back
Top Bottom