Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Angusha sweet words Anne......

Maybe your voice could help more thinking of getting your number dis night need to hear some girlie voice nilale unono
Kwa kweli
Nimeshindwa...Sasa kama maandishi tu nimefeli,kuongea nitaweza kweli??
Nionee huruma basi jamani.
 
Hahah
Yeah you can,unatune tu voice(night voice) unapangilia tu maneno, unayatoa kwa madah kama nataka sitaki, unaongea unampa mwenzio nafasi ya kuongea convo turns out to be so sweet.
Ila siyo nihangaike kuongea halafu uninyime picha.
Na lafudhi yangu ya kinyakyusa hii mbona naona kushindwa mapema
 
Watu tuna visauti vyetu lakini Mda wa night call tunatune voice sana

Mimi sidhani kama hata nina tune tofauti ..
Nakoroma muda wote

Kwahiyo hadi nikubembeleze tena jamani???
Dah!!!
Leo umejua kuninyanyasa
 
Ila siyo nihangaike kuongea halafu uninyime picha.
Na lafudhi yangu ya kinyakyusa hii mbona naona kushindwa mapema
😂😂ina depend unaniambia maneno gani, e.g. Let's we are good friends lakin kwenye call shy mno mtu anakua kachero maswali mengi na sauti yake ya kutuma mtoto seriously 📞🏃‍♂️.
 
ina depend unaniambia maneno gani, e.g. Let's we are good friends lakin kwenye call shy mno mtu anakua kachero maswali mengi na sauti yake ya kutuma mtoto seriously .

Tufanye nimefanikiwa kukushawishi.

Haya ,naomba uweke picha kabla sijaongea kushusha verses zangu
 
Back
Top Bottom