Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,835
Sayai katika hadithi za Kisukuma ni kale kasungura kajanja kalaghai laghai ambako mara nyingi huwadanganya wanyama wengine na hata binadamu; halafu kanaishia kuwaingiza mjini huku kenyewe kakisepa kiaina. Sina uhakika kama nawe una usayai sayai kiaina [emoji16][emoji16][emoji16]MUNGU wangu[emoji1751][emoji1751][emoji1751]
Umeona uniuze kabisa.
Lizarazu, SHIMBA YA BUYENZE naombeni tafsiri hapa tafadhali.
Leo nategemea kuona ukibonge wako. Unategemea kulewa saa ngapi ili nisicheze mbali na uzi huu wa kilozi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nyingine subiri nilewe halafu pombe zikiniisha nakuja kufuta
Jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sayai katika hadithi za Kisukuma ni kale kasungura kajanja kalaghai laghai ambako mara nyingi huwadanganya wanyama wengine na hata binadamu; halafu kanaishia kuwaingiza mjini huku kenyewe kakisepa kiaina. Sina uhakika kama nawe una usayai sayai kiaina [emoji16][emoji16][emoji16]
Hahahaah.Leo nategemea kuona ukibonge wako. Unategemea kulewa saa ngapi ili nisicheze mbali na uzi huu wa kilozi?
Kuwa mwembamba kiasi ufurahie mema ya nchi wewe, easy to bend, easy to carry, easy to access [emoji23]
Sasa tofauti kati ya huyo rafiki yako na mimi ni kwamba huyo rafiki yako anajikubali na anaponda watu ila mimi sijikubali na sipondi watu
Yaani mimi kama mtu ni mzuri namsifia ila kama ni mbaya simpondi huwa nakaa kimya tu maana najua kuna watu wengine wanamuona mzuri
Nilikata tamaa mazima baada ya kuona ulivyochanganyikiwa baada ya kuona siksi paki za Lizarazu. Mpaka ukaapa na kuhama uzi kabisa kwa sababu eti hakukuwa na kipya cha kuona tena. Acha tu nikomae na hawa ng'ombe. Ikibidi nitawaswaga tu nikawapige mnada pale Pugu [emoji16][emoji16][emoji16]Hahahaah.
Kwanza Hadi Sasa sijaona picha yako...unajua natakiwa nikuone kabla ng'ombe hawajaletwa eeh[emoji23][emoji23][emoji23]
Na haitakuja kuwa na makombo!! Uzuri wa papuchi hata kama imetoka kutafunwa mda mfupi ulopita ukikutana nayo utamu unakuwa level ile ile ya mwanzo!! MUNGU saidia nisije kutana na papuchi ya JF! Haki ya MUNGU atakuja kufungua uzi hapa!!
(Mkwara tu)
Mke mwenzangu ana miguu mizuri
Kwanini sasa aje afungue uzi?
[emoji28][emoji28][emoji28]Sikuoni
Walamusha mukamu??Hahahaah.
Kwanza Hadi Sasa sijaona picha yako...unajua natakiwa nikuone kabla ng'ombe hawajaletwa eeh[emoji23][emoji23][emoji23]
Worry out dear!I would appreciate if it comes from you personally dear...
Nakudai mimi
Jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Nilikata tamaa mazima baada ya kuona ulivyochanganyikiwa baada ya kuona siksi paki za Lizarazu. Mpaka ukaapa na kuhama uzi kabisa kwa sababu eti hakukuwa na kipya cha kuona tena. Acha tu nikomae na hawa ng'ombe. Ikibidi nitawaswaga tu nikawapige mnada pale Pugu [emoji16][emoji16][emoji16]
Huo ni uchocheziMkuu huyu dada ni mzuri aisee rangi ya mtume
Panandi.Walamusha mukamu??