Sayai katika hadithi za Kisukuma ni kale kasungura kajanja kalaghai laghai ambako mara nyingi huwadanganya wanyama wengine na hata binadamu; halafu kanaishia kuwaingiza mjini huku kenyewe kakisepa kiaina. Sina uhakika kama nawe una usayai sayai kiaina
Sayai katika hadithi za Kisukuma ni kale kasungura kajanja kalaghai laghai ambako mara nyingi huwadanganya wanyama wengine na hata binadamu; halafu kanaishia kuwaingiza mjini huku kenyewe kakisepa kiaina. Sina uhakika kama nawe una usayai sayai kiaina
Nilikata tamaa mazima baada ya kuona ulivyochanganyikiwa baada ya kuona siksi paki za Lizarazu. Mpaka ukaapa na kuhama uzi kabisa kwa sababu eti hakukuwa na kipya cha kuona tena. Acha tu nikomae na hawa ng'ombe. Ikibidi nitawaswaga tu nikawapige mnada pale Pugu
Na haitakuja kuwa na makombo!! Uzuri wa papuchi hata kama imetoka kutafunwa mda mfupi ulopita ukikutana nayo utamu unakuwa level ile ile ya mwanzo!! MUNGU saidia nisije kutana na papuchi ya JF! Haki ya MUNGU atakuja kufungua uzi hapa!!
(Mkwara tu)
Nilikata tamaa mazima baada ya kuona ulivyochanganyikiwa baada ya kuona siksi paki za Lizarazu. Mpaka ukaapa na kuhama uzi kabisa kwa sababu eti hakukuwa na kipya cha kuona tena. Acha tu nikomae na hawa ng'ombe. Ikibidi nitawaswaga tu nikawapige mnada pale Pugu