Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
Mimi kuanzia leo cheo changu kitakuwa ni mpambe wako!😄😄😄Crush S T O I C
Mimi kuanzia leo cheo changu kitakuwa ni mpambe wako!😄😄😄Crush S T O I C
Machungu ya kitu gani?Tunajisahaulisha machungu na Snyder's Cut ya Justice LeagueView attachment 1729494
SitakiMimi kuanzia leo cheo changu kitakuwa ni mpambe wako!![]()



Walinipiga ban kisa Kayafa kafa utafikiri mimi ndiye nimemuua!Mxiuuuuuuuuu zao!!Sitaki
Halafu kwanini hawakukupa ban japo ya miezi mitatu!
JingaWalinipiga ban kisa Kayafa kafa utafikiri mimi ndiye nimemuua!Mxiuuuuuuuuu zao!!






Kumbe ndio maana siku hizi umenisusa mchumba?Mimi kuongea ni mtihani sana.
Simu ikiita napata presha yaani
Huwa nafikiria sana kuongea na simu na ninaweza nisipokee.
Yaani hadi nimempigia mtu simu au kupokea aisee,niwe nimemzoea na kumkubali sana.
Sent using Jamii Forums mobile app



Nani amemsusa mwenzie??Kumbe ndio maana siku hizi umenisusa mchumba?![]()
Nahisi kama tumesusana, ila ww ndio umenisusa zaidiNani amemsusa mwenzie??
Mimi au wewe?



Bora umekuwa mkweli tu kwamba umenisusaNahisi kama tumesusana, ila ww ndio umenisusa zaidi![]()



Wewe tayari umeshashinda mchumbaNgoja tuone
Sijui nani atakuwa mshindi![]()



Oh kumbeWewe tayari umeshashinda mchumba![]()

Baby naomba unitext whatsapp. Plz honeyloveOh kumbe
Ngoja tuone kama kweli nimeshinda hii mechi ya ukimya


Sasa umevaa nguo ya nani?
Nikikutext Mimi inamaana nitakuwa nimeshindwa hii mechi,Baby naomba unitext whatsapp. Plz honeylove![]()