Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi kuongea ni mtihani sana.
Simu ikiita napata presha yaani[emoji1787]
Huwa nafikiria sana kuongea na simu na ninaweza nisipokee.

Yaani hadi nimempigia mtu simu au kupokea aisee,niwe nimemzoea na kumkubali sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ndio maana siku hizi umenisusa mchumba? [emoji4][emoji4][emoji4]
 
Mimi nikimdhibiti Karma baada ya kutoka ban na kusikia kuwa amechepuka!😄😄😄
87650011.jpg
 
Back
Top Bottom