Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Nilikuwa nafurahia tu chatting na ww hapa. Naanzaje kuichanganya?![]()




Selfika basi
Nilikuwa nafurahia tu chatting na ww hapa. Naanzaje kuichanganya?![]()




Kwa Leo limenivutia nikapostIli ndio neno la leo au?![]()
Ngoja na mimi mchumba wake Karma leo nijiselfike kwa sababu inawezekana mtoto wa watu hajui hata mchumba wake yukoje😄😄😄
Selfika basi
Rafiki hilo ni vazi special la ban.Siku ukipigwa ban utavalishwa vazi kama hilo na mods.





Bwahahaa haaaaa.Kuna ujumbe wa siri nataka nikupatie mchumba







Ndugu yangu umeachiwa.....Mimi kuanzia leo cheo changu kitakuwa ni mpambe wako!😄😄😄
Ngoja na mimi mchumba wake Karma leo nijiselfike kwa sababu inawezekana mtoto wa watu hajui hata mchumba wake yukoje
View attachment 1733520

Nimeselfika na picha nimeweka avatar hapoNaomba uselfike dada mzuri![]()
Ndugu yangu nimeachiwa kwa kishindo na nimetua hapa kwa kishindo.Walinipiga ban kisa Kayafa kafa utafikiri mimi ndiye nilimuua,mxiuuuuuuuu zao!Ndugu yangu umeachiwa.....
Rafiki mbona hivyo tena,huyo ndiye mchumba mimi.
Please usiamshe ugomvi ulioshapita.Bwahahaa haaaaa.
Huu ugomvi wa ngumi sasa![]()




Mweee avatar haionekani vizuriNimeselfika na picha nimeweka avatar hapo
Ngoja na mimi mchumba wake Karma leo nijiselfike kwa sababu inawezekana mtoto wa watu hajui hata mchumba wake yukoje
View attachment 1733520



huyo raisi wa namibia n kama kigogo hv
Karibu tena....Ndugu yangu nimeachiwa kwa kishindo na nimetua hapa kwa kishindo.Walinipiga ban kisa Kayafa kafa utafikiri mimi ndiye nilimuua,mxiuuuuuuuu zao!
Mmhhh. Una undugu na Remmy OngalaRafiki mbona hivyo tena,huyo ndiye mchumba mimi.

