Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ulishawahi kuchanganya madesa mpaka tumbo likakuchachamalia? Kuwa mwangalifu hii isije ikakutokea. Safari utaiona chungu.

(Wasukuma tunasifika kwa kula kula safarini. Kwa hiyo nina experience )
Mimi nakula kila kitu na Wala sijawahi ugua tumbo njiani
Tena naanza kula Mara tu baada ya kuanza safari.
 
Mimi nakula kila kitu na Wala sijawahi ugua tumbo njiani
Tena naanza kula Mara tu baada ya kuanza safari.
Wewe subiri tu. Siku yako yaja. Utaweza hata kushukia njiani tumbo likigoma kutoa ushirikiano.

Mimi sili safarini labda tu basi likisimama kwenye hoteli nakula chakula cha moto. Lakini hivi vya madirishani hapana kwa kweli. Kama ni matunda nanunua tu na nitakwenda kuyala huko niendako.
 
Wewe subiri tu. Siku yako yaja. Utaweza hata kushukia njiani tumbo likigoma kutoa ushirikiano.

Mimi sili safarini labda tu basi likisimama kwenye hoteli nakula chakula cha moto. Lakini hivi vya madirishani hapana kwa kweli. Kama ni matunda nanunua tu na nitakwenda kuyala huko niendako.
Hotelini napiga addition tu!
Nakuwa nishashiba kitambo.

Labda niumwe kabla au baada ya safari,ila safarini sijawahi
 
JamiiForums1311613119.jpg
 
Back
Top Bottom