Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,509
- 235,214
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tobaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]
Haya mambo tunaelewa watu wa Tukuyu tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi siwezi pita bila kununua kwa kweli.
Kila safari lazima nile njiani[emoji1787]View attachment 1732428
Hakika
Inabidi pasaka hii tufanye jambo
Angekataa kukupeleka huko kwenye mafufu ina maana mpaka sasa ungekuwa bado hujarudi nyumbani? Misimamo mingine bana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Hahahahaa umenikumbusha juzi tumetoka kanisani nikamwambia rafiki angu ni lazima twende kwenye mafufu, bila hivyo sirudi home daaah
Angekataa kukupeleka huko kwenye mafufu ina maana mpaka sasa ungekuwa bado hujarudi nyumbani? Misimamo mingine bana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahahaa umenikumbusha juzi tumetoka kanisani nikamwambia rafiki angu ni lazima twende kwenye mafufu, bila hivyo sirudi home daaah
Amen
Pasaka tunajambo letu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa kweli hili ni sherehe ya kimkoa mzima
[emoji120]Amen
Ahsante Sana kwa dua zako naamini ntaponaPole
Mungu aliye hai akuponye magonjwa na udhaifu wako katika Jina la Yesu.
Umeshapona.Ahsante Sana kwa dua zako naamini ntapona
Ahsante Sana mkuuUkawe mzima Mkuu.
Yaap somehow nipo good nategemea kesho ntaruhusiwa kutoka hospitalUmeshapona.
Ulishawahi kuchanganya madesa mpaka tumbo likakuchachamalia? Kuwa mwangalifu hii isije ikakutokea. Safari utaiona chungu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi kama mtu hapendi kula safarini basi asiongozane na mimi kabisa.
Siwezi kabisa kuvumilia kukaa bila kula aiseee...safari nzima nanunua tu kila kitakachopita.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi kama mtu hapendi kula safarini basi asiongozane na mimi kabisa.
Siwezi kabisa kuvumilia kukaa bila kula aiseee...safari nzima nanunua tu kila kitakachopita.
Sijawahi hata siku moja[emoji23][emoji23][emoji23]Utakuja kuhara siku moja hutoamini
AmenYaap somehow nipo good nategemea kesho ntaruhusiwa kutoka hospital