geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,035
- 7,227
Kumbe!
Mimi nina kiu ya maji kalumbu


mkeka utiki mamaSent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kumbe!
Mimi nina kiu ya maji kalumbu


mkeka utiki mamaTobaaUtaoga tu mbona,
Hiyo ndo starehe angu.




Ohooo




Mimi sijuiKuna kitu naijiulizaga hizi Pete za mkono wa kulia zina maana gani? Au ni urembo tu?
Naombeni majibu
Mshana Jr
😂😂 ebu uliziaulizia basi uko ata kwa majiraniMimi sijui
Zimefutwa,Zipo post za juu.
Zimejaa kama utitiri
HazijafutwaZimefutwa,
Ngoja nisubiri mpya
Nakosaje starehe zingine kwa dunia ni yetu😅😅😅😅.Tobaa
Hauna starehe nyingine??
Huo ni mtihani mgumu kwangu crush![]()
AfadhaliNakosaje starehe zingine kwa dunia ni yetu.

Niko poa sana....Afadhali
Hii ya kuogelea kwa kweli itanishinda.
Vipi uko poa?
"I promise to handle your heart with care and treasure it with love".
Mmmmh ...siamin kama karudi kwako"
"I promise to handle your heart with care and treasure it with love".

kwa hyo jamaa yetu kunywa pombe tu siku moja baby wake kujisikia vbya we umepata chance ya kupenyea hapo 


