Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Bora umenisaidia si unaona huyo mtu alivyo mchoyo kama baba yake
Baba!🏃🏃🏃
27830717.jpg
 
Wema wako
Si kwa wakati wa furaha tu
Wema wako pia wakati
Hata wa machozi

Wema wako haupimiki
Kwa majira fulani tu
Wema wako ni kila wakati
Na kila nyakati

Hata sasa ni Mwema
Tunapoimba ni Mwema
Tunapolia ni Mwema

Tunapocheka ni Mwema
Tunapopanda ni Mwema
Tunapovuna ni Mwema

So wewe ni Mwema, umwemaaaa
Wewe ni Mwema
Wewe ni Mwema, umwemaaaa
Wewe ni Mwema


Mungu atabaki kuwa Mungu,
Jizazi Christ
We Baba leo ni pigo juu ya mapigo
Moyo wangu unavuja damu
 
Back
Top Bottom