B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,358
- 4,406
Crush uko poa,Kwanini hujaniambia nikusindikize?
Natamani Sana kufika hayo maeneo
Sijawahi fika hayo maeneo, kuna clip niliona msukuma anasema Abaundi araundi, nilicheka sana.
Crush uko poa,Kwanini hujaniambia nikusindikize?
Natamani Sana kufika hayo maeneo
Naomba tips za kujua kuchora nimevutiwa.
Mmmmmmhh Geraldhahahhahahahahhahaha karma ww genius..
.laki unapata ngoja mkeka utiki
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
nakupa laki chap.....wait and seeMmmmmmhh Gerald
nampa laki sooon...
Crush uko poa,
Sijawahi fika hayo maeneo, kuna clip niliona msukuma anasema Abaundi araundi, nilicheka sana.









Mkeka ukiticknampa laki sooon...
atakupa hata 20 ukanunue kreti mbili za pepsi unywe
sawa?
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app




Hahahah mna lafudhi ya kufurahisha sana
Ila wasukuma na makabila yetu sisi huku nyanda za juu kusini hatuchekani Sana...ushamba haujatuacha salama
JamaniHahahah mna lafudhi ya kufurahisha sana



..🤣🤣🤣
Uncle kuku..dah😋😋
Binafsi nilikuwa nimekuhamu aise..nimemiss purukushani zako mara kucha,mara miguu ,vidole..😁😁kikubwa zaidi mapocho pocho😅😅
Dah hebu niambie ni Mechi gani hizo na mi nibetnakupa laki chap.....wait and see
kuna timu mbili zimebaki nakula million 2.6 nishindwe kukupa laki kweli ww ndugu yangu
hyo location nilikuepo jana.....
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣 Eti purukushani 😁😁 Inabidi nifanye mkakati wa kurudi niziendeleze maana mie mwenyewe nawamiss sana.🙂Binafsi nilikuwa nimekuhamu aise..nimemiss purukushani zako mara kucha,mara miguu ,vidole..😁😁kikubwa zaidi mapocho pocho😅😅