Selfika na JF: Snap it. Show it

udom sr....


sijawai angalia matokeo nikiwa sijalewa...
lazima nilewe ndio naangalia bila presha


Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
udom sr....


sijawai angalia matokeo nikiwa sijalewa...
lazima nilewe ndio naangalia bila presha


Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Mimi huyo mdudu SR,licha ya kwamba nilimfungua mara nyingi Sana ila sijawahi kumzoea

Matokeo yakija yaani kifungua Sr ni kimbembe,,, nakumbuka mara ya mwisho naangalia aisee
,kabla sijafungua nilisweat mikono yote

Kwanza watu watoa taarifa wa group la darasa..oyaa sr imetema.
Tumbo lilivuruga....na nilikuwa na stress zangu kibao, nikasema siangalii leo.
Nikajikaza bila kufungua,ilipofika usiku si nikaanza kuiota,,nyotanyota haziishi kichwani..usingizi wa mang'amung'amu
nikawahi saa 11 nikafungua at least nafsi ikafurahi.
 
Kuna mtu alikuwa anadai akiambiwa matokeo tayari tumbo linavuruga anapiga kambi chooni😀 mbaba mmoja yeye alidai tangu aingie chuoni amedevelop tatizo la pressure kupanda🤣🤣 huko chuoni kuna watu wanapata taabu tupu😅😅.

Sema kuna wanachuo huwa ni wazembe aisee yani karibia kila semista wana supp.
 

Sr kitu kingine kabisa jamani.
Unavuja jasho hadi mikononi...

Unajua kinachoogopesha ni ile kuwaza kuna somo lilikujia vibaya UE, Sasa ukipiga hesabu za haraka haraka inaogopesha

Japo mwisho wa siku unakuta unafungua mambo yako poa tu!

Sup kila semester aisee ni mateso Sasa hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…