T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,936
- 30,099
Hata kama ukiwa mahusianoniJe kama siko mapenzini jeeee!!!
Hata kama ukiwa mahusianoniJe kama siko mapenzini jeeee!!!
Mtakatifu naomba ahadi yangu piemu tafwazali.mitambo ya sauti imeshakaa sawaHakikisha unaniambia leo kabla mengine hajakuvuruga kesho
DahHapana, kuvurugwa ni unplanned! Inatokea huwezi jua lini
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app

Je Na kama sikai mahusianoni jeeeHata kama ukiwa mahusianoni
Mtakatifu naomba ahadi yangu piemu tafwazali.mitambo ya sauti imeshakaa sawa






Hakikisha sikukumbushi 😅😅
Naomba muda kwanza .
Nikitulia nitakutajia
Nimeshaondoa mda snaa🤣🤣Ondoa Shaka![]()
Bhasi utakuwa umesimama mapenzini/mahusianoni.Je Na kama sikai mahusianoni jeee
Nilipo ajuaye ni bwana .sio mapenzini wala mahusianoniBhasi utakuwa umesimama mapenzini/mahusianoni.
AminaNilipo ajuaye ni bwana .sio mapenzini wala mahusianoni
🥰🥰Amina
..mama wa guu la taifa! Hatari hii...
Sinywi pombe niachieni mwali uyo😀Hahahaha
Kweli huyu binti wa kilokole nipewe mimi.
She's all yours!Kweli huyu binti wa kilokole nipewe mimi.

Aje tunywe uji wa malimao🤣🤣🤣Kimbilia kwa crush!😄😄😄
Lakini me kwake bado crush sijaafiki na hili.
Crush mwenye vigezo vyake vyoteLakini me kwake bado crush sijaafiki na hili.
