Yaani yule unadisco anakuona hivihivi.
Carry over yake usipokaza kusoma,usitegemee atakuokoa
Halafu haoni shida kutandika watu carry-over mwaka wa mwisho
Kuna watu walikuwa wanatia huruma jamani.. mtu unarudi kusoma chuo nwaka wa ziada kisa somo lake. .
Na vile umekaa chuo miaka miaka,unakuta hadi watoto uliowaacha chekechea wanakukuta chuo kikuu bado unasoma
Pona pona yake ufaulu UE ,asikukamate.
Ndio ule muda unaomba upate hata 'C' tu
unaiomba ishuke ije Kama unavyoomba ufalme wa Mungu uje