Thubutuuuh weeeh, ila kuna best angu ndo Mr wake anayo km hiyo, huwa tukiwa wawili nakanyaga mafuta mie, ni tamu ila sio kwa RR,
Kuna siku nilipata lift ya range rover dadeki, nusu nimuombe jamaa nizungushe mie usukani, yaan ndinga unaisikilizia utamu had kwenye utumbo mpana. Lol