Selfika na JF: Snap it. Show it

Calm down mkuu usifukuzane na upepo this is jf ni fake plus fakero.
Picha nyingi zitumwazo ni fake kama zilivyo id fake
 
Elementi za kihaya kwenye post hii
 
Wewe utabaki kuwa kielelezo bora kwa aina ya wanawake wenye akili na hekima zao.
Sitakusahau wakati flani nikiwa ninashambuliwa bila sababu na wenye akili zao...ulituliza moto kwani nilichokuwa nakiwaza kukifanya "shetani anajua" kwani najijua mwenyewe nilivyo na hasira kwa wapumbavu...ubarikiwe sana bila kumsahau kipenzi CUTE B
Nimegundua hamkuielewa movement yangu humu,,, mi ndo kapeace,,,
 
Wacha weee baada ya makavu umeamua kukanusha sio demu wako.
.
Hivi sio wewe comments za nyuma ulikuwa unatunanga tunapenda kufake maisha na kupost picha za mtandaoni?
Hauchomoki Leo. Uwe unaweka akiba za maneno wakati mwingine inasaidia sana.
Haya screenshot hapo ulipoitoa hiyo picha post.
Asee unakojolea sehemu ya hovyo ndio maana unamaumivu na wadada wa jf na bila kusahau huwa anakulisha mavi mabichi. Akate kucha.
 
Emu nyamaza nawe utakuja kujichanganya bure πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuwa online ndo kazi yetu mkuu..Bora uwaache ukafanye kazi zako za maana. Kuendelea kuwepo hapa inaonyesha kuwa huna tofauti na wao.
 
Jamani me huyu nishamsoma muda tu Jana baada ya kukwambia amnunulie bi Dada REMOVER nikabadilishiwa mada juu kwa juu ' mtoto wa singida aishiwi utamu na vbla bla ikabidi nilike tu then nikatulia.


My dia ili sio lengo LA Uzi wa Mshana Jr emu achana nae
 


Heey Cardio maamboo,

Sometimes we reach our limit of being tolerated or humiliated its allowed to spit our anger, nakuelewa.

Well, I don't know you but at least I have hints....

Just take it easy, enjoy your day, have fun and let no one grab your smile.

Take a sip and kiss, let love lead.

Shida yangu chochote nnachosema najikuta kinaishia kwenye Mahaba tuu...

Matata K.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…