Selfika na JF: Snap it. Show it

unakosea sana kutojikubali aisee..
Kama wewe ulivyo na vigezo vya uzuri ndivyo na kila mtu alivyo na vyake.
Wewe hujikubali Ila Kuna watu huko ambao unawapagawisha si kidogo ujue yawezekana bila hata wewe kujua
 
wanasemaga nyani haoni Ku........
Haswaaaa!
Huyu si yule alifungua uzi sijui wadada wa jf wachfu, sijui kucha chafu akapost na picha ya kucha zimepakwa rangi tena jelly nzuri tuu rangi ya kike ya pink akasema huyo dada mchafu?
Nikajisemea kama zile kucha zina uchafu basi mpenzi wake ni malaika , siamini nilichokiona kwa kweli. Ndio maana siamini wakosoaji wa mitandaoni. Kashfa nyingi mitandaoni kumbe hamna kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…