Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Basi namwambia Daddy wangu SHIMBA YA BUYENZE anitafsirieHahaha....tuma na ya kutolea nikutumie tafsiri pm![]()
Basi namwambia Daddy wangu SHIMBA YA BUYENZE anitafsirieHahaha....tuma na ya kutolea nikutumie tafsiri pm![]()
Za kwangu njema/salama kabisa shemejiNi nzuri Elly za kwako.
Kwahiyo leo nimekuwa mpendwa ndugu yangu!
Furesh
Umeanza mambo yako ya shemeji sasa😅😅😅Za kwangu njema/salama kabisa shemeji
Ila mtoto wako ni mzuri sana

Mie ngoja nibetHahaha....tuma na ya kutolea nikutumie tafsiri pm![]()
hahahahhaha mbona kama ulikua unafikiria sana kusema hivii..nakupa picha ake ingineIla mtoto wako ni mzuri sana![]()
Mzuri sana aiseehahahahhaha mbona kama ulikua unafikiria sana kusema hivii..nakupa picha ake ingine
Kendrick Gerald MwakalingaMzuri sana aisee
Hebu weka nyingine tuone
hapa yuko na anti ake...my sistaMzuri sana aisee
Hebu weka nyingine tuone
Oh nzurihapa yuko na anti ake...my sistaView attachment 1698149
Mimi niliongea kuhusu picha humu,muhusika akazitoa.Basi waacha ku normalize hii kitu, siyo cha kawaida kwa jamii ya wastaarabu hata kama ni tabia waiweke private hamna mtu atawafuata huko kuwauliza, hapa tumefahamiana wadau wengi na kubadilishana mawazo hapa na pale, kushare moments na changamoto za hapa na pale...ila wengi wanamute kwa sababu hizi, siyo sawa kama mtu anafirwa ni tako lake ila asituletee huku, hizi ni harakati wanazofanya kwenye uzi huu siyo sahihi
thanks kalumbuOh nzuri
Hongera Sana aisee
thank st annie
Ngoja na mimi nijiandae kumuweka wanguthanks kalumbu







Mtoto ni mcute sana brother.hongera mno.Kendrick Gerald MwakalingaView attachment 1698148
Unakataa ushemeji au unataka tuzime tamaa?Umeanza mambo yako ya shemeji sasa![]()

Bora ushemeji 😅😅Unakataa ushemeji au unataka tuzime tamaa?
Sema mimi nipo tayari![]()
Hahahaa....mimi huyu nimvishe pete mtu/mwanamke?Bora ushemeji
Wewe si umemvisha mtu pete jaman
