Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mzuri sana aisee
Hebu weka nyingine tuone
Kendrick Gerald Mwakalinga
20201112_194153.jpg
 
Basi waacha ku normalize hii kitu, siyo cha kawaida kwa jamii ya wastaarabu hata kama ni tabia waiweke private hamna mtu atawafuata huko kuwauliza, hapa tumefahamiana wadau wengi na kubadilishana mawazo hapa na pale, kushare moments na changamoto za hapa na pale...ila wengi wanamute kwa sababu hizi, siyo sawa kama mtu anafirwa ni tako lake ila asituletee huku, hizi ni harakati wanazofanya kwenye uzi huu siyo sahihi
Mimi niliongea kuhusu picha humu,muhusika akazitoa.
Cha ajabu Kuna kichaa mmoja alikuja kunishambulia na kuniita mnafiki tukakesha tunatukanana humu.
 
Back
Top Bottom