mzee wangu kuna mzungu mmoja ni rafk yangu...leo kasema anataka anitoe lunch
ndio kama hivyo imetoka 25k imeniuma sana![]()




kitambi chenyewe kiko wap sasa🤣oparashen tokomeza kitambiView attachment 1690022

Yaan babuu utoke kweli na iwe mazima lolNaondokaaa
Ndo ivo sasa.Mmmmmmmmh
Napita kuangalia selfie nakutana na story tu![]()




lol weka pic za maakuli tujilambe mdomo huku.Maandazi yamenona mnooh.
imagine kuna kilimanjaro bia ngapi kwenye 25k broImekuuma kwani umetoa wewe?
kaka kilikuepo.....mgiriki malkia wangu hujanionea??kitambi chenyewe kiko wap sasa![]()
ghwe mwana ughweee....ulipo
aah kimeenda wapkaka kilikuepo.....mgiriki malkia wangu hujanionea??
kilimanjaro 12 dah hasara Sanaimagine kuna kilimanjaro bia ngapi kwenye 25k bro
hahahhaha iringa hii
Ndipoghwe mwana ughweee....ulipo
Rolo modo wako au siyouna ni inspire mkuu....![]()
