geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,035
- 7,227
MmmmmmmmhWote tyuuh.
Kashikwa ugoni😂😂😂Ahahaha na nimekuzingua makusudi tu. Kuwa na amani bana brod darling; sisi wahenga tunajua kama hayo yanatendeka tu![]()
Kadeki bahariNiamru chochote nitafanya mfalme wangu
unakataaje sasa
Mkuu kumbe wewe unajua wanao kaa mwanza wote ni kina mwanike![]()
ushakosa hiyomkuuu...hiz ni changamoto
Anachomfanyiaga mwanetu mambo hadharani 😂😂Tena na wakwe![]()
Sauti ya mfalme pekee ndo usikilizwaKadeki bahari









Anachomfanyiaga mwanetu mambo hadharani![]()
Teh teh...nimeshaelewa![]()
Mimi sio mwanike etiunakataaje sasa

SawaaMimi sio mwanike eti![]()
Namshukuru Mungu, ni mzima wa afya. Sijui weweU mzima Homie...
Za masiku
Me ni mzima...Namshukuru Mungu, ni mzima wa afya. Sijui wewe
Nafurahi kuwaona pia mkiusongesha uziMe ni mzima...
Nafurahi kukuona ndani ya uzi wetu pendwa..