Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Best friend
Screenshot_20210124-003134.jpg
 
Mkuu,
Binafsi wala sina shaka na akili kubwa Mungu aliyokupa, sina shaka kabisa. You're so exposed na dunia na ndio maana upo hapo ulipo, hoja yangu ni kuyaweka ya chumbani yabaki huko, zile picha mimi sikuzipenda na nilikuwa wa kwanza kukukrash. Hata kama umeamua kuwa shoga, basi sawa lakini usituonyeshe, tumekataa kuzitizama.

Hakuna atakayekupangia nini ufanye, ila content za kishoga tumekataa usipost humu. Mashoga humu wapo kibao, wezi, majambazi, malaya, wahuni..nk Ila tukae nayo huko.
Jaman hayo mapicha yakowap
 
Dear God, I thank You for another Sunday morning, You have brought me to the beginning of a new day and I ask You to renew my heart with Your strength and purpose. Forgive my errors of yesterday and help me to walk closer in Your way today. Shine through me so that every person I meet may feel Your presence in my soul. Take my hand for I cannot make it by myself. I YOU! Amen. Nice sunday Gods people
 
Dear God, I thank You for another Sunday morning, You have brought me to the beginning of a new day and I ask You to renew my heart with Your strength and purpose. Forgive my errors of yesterday and help me to walk closer in Your way today. Shine through me so that every person I meet may feel Your presence in my soul. Take my hand for I cannot make it by myself. I YOU! Amen. Nice sunday Gods people
Ameeeen
 
TANZIA
Innalilahi Wainnaillaih Rajiuun. Nawajulisha taarifa ya Msiba mkubwa wa Kaka yetu Mkubwa Bwana Khalfani Selemani Kikwete aliyefariki asubuhi hii .Msiba upo Msasani Nyumbani kwa Mh.Raisi Mstaafu Dr. Jakaya Mrisho kikwete. Taratibu za mazishi na mengineyo tutajulishana.

Ahsanteni sana.
Kwa Niaba ya Familia

Ridhiwani J. Kikwete (Mb)
 
TANZIA
Innalilahi Wainnaillaih Rajiuun. Nawajulisha taarifa ya Msiba mkubwa wa Kaka yetu Mkubwa Bwana Khalfani Selemani Kikwete aliyefariki asubuhi hii .Msiba upo Msasani Nyumbani kwa Mh.Raisi Mstaafu Dr. Jakaya Mrisho kikwete. Taratibu za mazishi na mengineyo tutajulishana.

Ahsanteni sana.
Kwa Niaba ya Familia

Ridhiwani J. Kikwete (Mb)
Hivi huyo Kaka wa kikwete hakua na mji wake, Kama ni ndio kwa Nini msiba usiwe nyumbani kwa marehem badala yake unakuwa kwa mdogo wake!!

Mungu amrehemu na kumjalia uzima wa milele
 
Back
Top Bottom