Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,296
Huwa anachungulia na kusepa mara moja moja sanaaMtoto mlitoo huku huwa yupo?
Huwa anachungulia na kusepa mara moja moja sanaaMtoto mlitoo huku huwa yupo?
Siku nyingi sanaa ila kabaki tu old traford kwakeMtoto mlitoo huku huwa yupo?
Msalimie ex wa mtu akijaHuwa anachungulia na kusepa mara moja moja sanaa
Mimi nakuja ila nakunywa Soda na grandmaltAnyone at tips tunywe bia...
Sawaaa mkuu usijari....Msalimie ex wa mtu akija
Grandmalt na soda zipo?Njoo ukifika getini niambie please
Huyo wa siku Mia Nina pongezi yake ya mdomo tuMe naomba ningojee mrejesho baada ya mkuu kumaliza siku mia![]()

Nilikuwa nakaribia kufika ila nimeahirisha.
A wapiAchana na hawa njoo utahudumiwa kwa upekee zaidi..
kiupekee zaid nakazia hapo mtakatifu 😂Achana na hawa njoo utahudumiwa kwa upekee zaidi..
Aliyesema anaacha kwa ajili yangu ni yule niliyemuahidi zawadiMtakatifu ashindwe yeye tu
inauma mkuu alisema anaacha kwa ajili yako
Tukishakuwa zaidi ya mmoja hakuna cha kiupekee hapokiupekee zaid nakazia hapo mtakatifu![]()



Mtakatifu ashindwe yeye tu
Hivi siwezi vaa suti na tai nikauza hii? Au lazima nifuge mzuzu na kuvaa kanzu.






