Selfika na JF: Snap it. Show it

Cc hapo kwenye ulanzi acha tyuuh, unaujua vizuri wee? Mwenzio bas nagema mwenyeww kwenye mbeta zake, lita 4 namaliza kunywa, ulanzi unavonoga unafanya lyo lyo lyo.
Chaaaa!

Lt 4???

Nadhani nilishausahau .. niliwahi kwenda huko Iringa miaka ya nyuma Sana wakati nikiwa mdogo.
 
Hapo kichwani wapo vizuri umepatia na wapare pia, nakumbuka o level class letu, tulikua tunakimbizwa na mpare, kuja advance lol wahehe wawili walikua wanashindana kukimbiza class letu.
Hongera zao kwa hilo.
Wana akili za darasani na za maisha
Ila sasa kwa kujinyonga hawajambo
unakorofishana naye kidogo anaenda kujitundikA..anakuachia msala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…