Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Nimesema MimiHiyo ni miziki ya asili nani kasema?

Nimesema MimiHiyo ni miziki ya asili nani kasema?

Utani tuNiishie tu kukushangaa 😐😐
SawaUngezungumzia ngoma za kisafwa na kisukuma apo sawa
Una muonekano kama Kayaman🍁Mtwara, Kitaya Mambo yalivyokua sio Mambo last year before electionView attachment 1682634
jojo manyota ya nn??
au unaamanisha niedit niweke nyota nyota




jamniii 



Mimi wa kijijiniWanaokaa mjini teni ela ndogo
Sisi wa rural natamba nalo wiki..

njoo uniweke hayo mabite.....jamniii
Namaanisha ma lovebite
Woyooooooooooh nmetoka kula chakula km hiki leo, sare share maua.



Sasa sisi wa certificate za kushona cherehani..eti ukale chips afu uende kumpima mtu ili umshonee nguochands za kikubwa afu ushushie chips? Hata kihombo mwenyewe hakuwah fanya hivyo akiwa chuo.




Si Bora miaka hiyo nilikuwa mnene kabla mambo hayajachanganya SanaHeeeh zamani sana. Ulikua mwembamba mnooh.




Napenda tu beats zake na jinsi wanavyocheza.Afu unazielewa? Jamani mieya hao legends hata siwezi kusikiliza.
Hapo unanena kwa lugha za bwana, matamshi hayasikiki. Roho mtakatifu amekushukia,
Nakumbuka shule wakati wa dini, walokole jaman watu wanatoa maneno hayaeleweki, unahisi kabisa Yesu yupo hapo.
Cc mtakatifu ktk ubora wako.



Hamna nilikuwa naimba..Ndiyo ndiyoWacha wee.
Yaani Nina mabegi na mabegiHivi si una begi zima lenye nguo za vitenge tyuuh?


