Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tbt 2017[emoji23]
Screenshot_20210121-161042.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chands za kikubwa afu ushushie chips? Hata kihombo mwenyewe hakuwah fanya hivyo akiwa chuo.
Sasa sisi wa certificate za kushona cherehani..eti ukale chips afu uende kumpima mtu ili umshonee nguo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lazima uchemke..
Inatakiwa unagonga Dona la uhakika
 
Hapo unanena kwa lugha za bwana, matamshi hayasikiki. Roho mtakatifu amekushukia,
Nakumbuka shule wakati wa dini, walokole jaman watu wanatoa maneno hayaeleweki, unahisi kabisa Yesu yupo hapo.

Cc mtakatifu ktk ubora wako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hamna nilikuwa naimba..
Wakati wa kuimba hatupigi maombi Sana maana sauti inaweza kata
 
Back
Top Bottom